Rihanna Announces Second Pregnancy While Hitting Super Bowl Show

 Robyn Fenty 'Rihanna' has made it clear that she is pregnant with her second child with her boyfriend who is also a fellow artist, Asap Rocky. Rihanna said this yesterday, Sunday,

 February 13, 2023, in a powerful show she made during the break of the Super Bowl finals at State Farm Stadium, Glendale, Arizona in the United States. 

After the young lady went on stage and started to perform, many people were shocked by her new appearance where she appeared to have a big belly, while continuing the show, she officially announced that she and her boyfriend, Asap Rocky, are expecting a guest, then she grabbed her belly and caused the whole arena exploding with joy. Rihanna gave birth to her first child on May 13, 2022.


//Mwanadada Robyn Fenty ‘Rihanna’ ameweka wazi kuwa ana ujauzito wa mtoto wa pili na mpenzi wake ambaye pia ni msanii mwenzake, Asap Rocky.

Rihanna ameyasema hayo jana Jumapili, Februari 13, 2023 katika shoo ya nguvu aliyoipiga wakati wa mapumziko ya fainali za Super Bowl katika Uwanja wa State Farm, Glendale, Arizona nchini Marekani.

Baada ya mwanadada huyo kupanda jukwaani na kuanza kuperform, watu wengi walishtushwa na mwonekano wake mpya ambapo alionekana kuwa na tumbo kubwa, akiwa anaendelea na shoo ndipo alipotangaza rasmi kwamba yeye na mpenzi wake, Asap Rocky wanatarajia mgeni, kisha akalishika tumbo lake na kusababisha uwanja mzima kulipuka kwa shangwe.

Rihanna alijifungua mtoto wake wa kwanza, Mei 13, 2022.



Post a Comment

0 Comments